|
|
Mathayo 2.16
16. Herode alipogundua kwamba wale wataalamu wa nyota walikuwa wamemhadaa, alikasirika sana. Akaamuru watoto wote wa kiume mjiniBethlehemu na kandokando yake wenye umri wa miaka miwili na chini yakewauawe. Alifanya hivyo kufuatana na muda aliopata kujua kutoka kwawale wataalamu wa nyota.
|
|
Text source: Swahili New Testament, public domain.
|
| |
| This project is based on delivering free-of-charge the Word of the Lord in all the world by using electronic means. If you want to contact us, you can do this by writing to the following e-mail: bible-study.xyz@hotmail.com |
|
|
|
SELECT VERSION
COMPARE WITH OTHER BIBLES
|
|