Bible Study: FrontPage




 

Zaburi, Chapter 113

Bible Study - Zaburi 113 - Swahili - Swahili Union Bible - Web
 
 
 
Comment!       Comment Disqus!
  
1. Haleluya. Enyi watumishi wa Bwana, sifuni, Lisifuni jina la Bwana.
  
2. Jina la Bwana lihimidiwe Tangu leo na hata milele.
  
3. Toka maawio ya jua hata machweo yake Jina la Bwana husifiwa.
  
4. Bwana ni mkuu juu ya mataifa yote, Na utukufu wake ni juu ya mbingu.
  
5. Ni nani aliye mfano wa Bwana, Mungu wetu aketiye juu;
  
6. Anyenyekeaye kutazama, Mbinguni na duniani?
  
7. Humwinua mnyonge kutoka mavumbini, Na kumpandisha maskini kutoka jaani.
  
8. Amketishe pamoja na wakuu, Pamoja na wakuu wa watu wake.
  
9. Huweka nyumbani mwanamke aliye tasa, Awe mama ya watoto mwenye furaha.


Search in:
Terms:

Vote and Comment on Facebook:Recommend This Page:
Post on Facebook Add to your del.icio.us Digg this story StumbleUpon Twitter Google Plus Post on Tumblr Add to Reddit Pin this story Linkedin Google Bookmark Blogger
Insert Your Personal Insight:

Please do not make mean comments and follow the biblical and spiritual character of this forum. If, however unpleasant situations arise, we request to flag it to us in order to evaluate the situation.

Text source: This text is in the public domain, downloaded from http://www.unboundbible.org, compiled by biblephone2008@gmail.com.

This project is based on delivering free-of-charge the Word of the Lord in all the world by using electronic means. If you want to contact us, you can do this by writing to the following e-mail: bible-study.xyz@hotmail.com


SELECT VERSION

COMPARE WITH OTHER BIBLES